Ijumaa, 4 Julai 2025

SHIRIKI KAMPENI YA MAZINGIRA CHALLENGE TZ TUMA PICHA AMA VIDEO KUPITIA WhatsApp: +255 680 400 400


  












 ⁠Unayo picha nzuri ya mazingira kutoka mtaa wako, kijijini, chuoni au kazini? 

Iwe ni mti uliopandwa, mandhari ya kijani, usafi wa maeneo, au ubunifu wowote wa mazingira?

Tuma picha yako nzuri ya kimazingira ili kuonyesha uzuri wa Tanzania yetu ya kijani!
Tuma kupitia WhatsApp: +255 680 400 400

    ⁠Tuonyeshe sehemu yako – mahali pazuri pa kijani, pori lililotunzwa, mtaa safi au bustani yako ya nyumbani!

#mazingirachallengetz #sisinitanzania
 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

VIJANA WAVUNA DHAHABU YA SAMAKI ZIWA VICTORIA: UWEKEZAJI WA VIZIMBA NA UMEME WA JUA CHINI YA UFADHIRI WA TADB WAFUNGUA MILANGO YA AJIRA NA UTAJIRI MPYA TANZANIA

Ufugaji wa samaki kwa kutumia vizimba ndani ya Ziwa Victoria umeanza kuwa nguzo muhimu ya kuimarisha uchumi wa vijana na kuchangia usalama w...