Ijumaa, 4 Julai 2025

SHIRIKI KAMPENI YA MAZINGIRA CHALLENGE TZ TUMA PICHA AMA VIDEO KUPITIA WhatsApp: +255 680 400 400


  












 ⁠Unayo picha nzuri ya mazingira kutoka mtaa wako, kijijini, chuoni au kazini? 

Iwe ni mti uliopandwa, mandhari ya kijani, usafi wa maeneo, au ubunifu wowote wa mazingira?

Tuma picha yako nzuri ya kimazingira ili kuonyesha uzuri wa Tanzania yetu ya kijani!
Tuma kupitia WhatsApp: +255 680 400 400

    ⁠Tuonyeshe sehemu yako – mahali pazuri pa kijani, pori lililotunzwa, mtaa safi au bustani yako ya nyumbani!

#mazingirachallengetz #sisinitanzania
 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

WAJIBU WA VYOMBO VYA HABARI KATIKA KULINDA NA KUENDELEZA MUUNGANO

  “WAJIBU WA VYOMBO VYA HABARI KATIKA KULINDA NA KUENDELEZA MUUNGANO” kwa kuzingatia Katiba na mustakabali wa Muungano wa Tanzania : 1. M...