Jumanne, 24 Juni 2025

 KATIKA PICHA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Maputo tarehe 24 Juni, 2025 Maputo, Jamhuri ya Msumbiji ambapo anatarajia kuwa Mgeni Rasmi katika Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 50 ya Uhuru wa Jamhuri ya Msumbiji, kufuatia mwaliko maalum wa Rais wa nchi hiyo, Mhe. Daniel Francisco Chapo. Sherehe hizo zitafanyika  katika Uwanja wa Machava, Mjini Maputo.











Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Vijana wa Mwanza Waandika Historia Mpya ya Maendeleo

  Leo Februari 19,2026 ni siku ya kipekee kwa vijana wa Mwanza. Ni mwanzo wa enzi mpya—enzi ya matumaini, ubunifu na mafanikio. Uzinduzi wa ...