Jumanne, 24 Juni 2025
KATIKA PICHA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Maputo tarehe 24 Juni, 2025 Maputo, Jamhuri ya Msumbiji ambapo anatarajia kuwa Mgeni Rasmi katika Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 50 ya Uhuru wa Jamhuri ya Msumbiji, kufuatia mwaliko maalum wa Rais wa nchi hiyo, Mhe. Daniel Francisco Chapo. Sherehe hizo zitafanyika katika Uwanja wa Machava, Mjini Maputo.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
WAJIBU WA VYOMBO VYA HABARI KATIKA KULINDA NA KUENDELEZA MUUNGANO
“WAJIBU WA VYOMBO VYA HABARI KATIKA KULINDA NA KUENDELEZA MUUNGANO” kwa kuzingatia Katiba na mustakabali wa Muungano wa Tanzania : 1. M...
-
Kauli mbiu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan –"Kazi na Utu Tunasonga Mbele" – ni dira ya maende...
-
1. Utangulizi Mjadala huu umeibua fikra pevu, zenye msukumo wa kiroho, kijamii, na kiuchumi kuhusu nafasi ya fikra, matendo, na amani kat...
-
1. Mtazamo wa Kijumla: Maliasili kama Hazina ya Taifa Mjadala huu umeonyesha kwa uwazi kwamba Watanzania wengi wanatambua maliasili kama u...






Hakuna maoni:
Chapisha Maoni