Jumanne, 24 Juni 2025
KATIKA PICHA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Maputo tarehe 24 Juni, 2025 Maputo, Jamhuri ya Msumbiji ambapo anatarajia kuwa Mgeni Rasmi katika Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 50 ya Uhuru wa Jamhuri ya Msumbiji, kufuatia mwaliko maalum wa Rais wa nchi hiyo, Mhe. Daniel Francisco Chapo. Sherehe hizo zitafanyika katika Uwanja wa Machava, Mjini Maputo.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
VIJANA WAVUNA DHAHABU YA SAMAKI ZIWA VICTORIA: UWEKEZAJI WA VIZIMBA NA UMEME WA JUA CHINI YA UFADHIRI WA TADB WAFUNGUA MILANGO YA AJIRA NA UTAJIRI MPYA TANZANIA
Ufugaji wa samaki kwa kutumia vizimba ndani ya Ziwa Victoria umeanza kuwa nguzo muhimu ya kuimarisha uchumi wa vijana na kuchangia usalama w...

-
Kauli mbiu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan –"Kazi na Utu Tunasonga Mbele" – ni dira ya maende...
-
MAFUNZO YA WAJUMBE WA KAMATI YA USALAMA KUHUSU ELIMU YA URAIA NA UTAWALA BORA YANAYORATIBIWA NA WIZARA YA SHERIA NA KATIBA YANAFANYIKA MKO...
-
Ziara ya Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia , ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa uwanja wa mpira wa miguu...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni