JE, KAULI MBIU YA MHE. RAIS, DKT. SAMIA SULUHU HASSAN – 'KAZI NA UTU TUNASONGA MBELE' INA MAANA GANI KWA MAENDELEO YA TANZANIA?
Kauli mbiu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan –"Kazi na Utu Tunasonga Mbele" – ni dira ya maendeleo inayobeba dhana ya uwiano kati ya maendeleo ya kiuchumi na maadili ya kijamii. Kauli hii inaonesha dhamira ya serikali ya awamu ya sita katika kuhakikisha Tanzania inapiga hatua za kimaendeleo kwa kudumisha utu, mshikamano na utamaduni wa Kitanzania. 1. Maana ya Kauli Mbiu – "Kazi na Utu Tunasonga Mbele" Kauli hii ina sehemu tatu kuu: 1. Kazi – Inawakilisha juhudi, bidii na uzalishaji mali kwa maendeleo ya taifa. 2. Utu – Inahimiza maadili, mshikamano, heshima na haki za binadamu katika shughuli zote za kijamii na kiuchumi. 3. Tunasonga Mbele – Inasisitiza maendeleo endelevu yanayozingatia kazi na utu kama nguzo za mafanikio. Kauli mbiu hii inatoa msingi imara kwa maendeleo ya kiuchumi, kijamii na kisiasa kwa njia zifuatazo. i. Maendeleo ya Kiuchumi kwa Kujenga Nchi ya Watu Wanaofanya Kazi - Tanzania imekuwa ikiwekeza katika mir...
Sekta ya uvuvi inafanya vyema sana na hii ni kutokana na kazi na juhudi kubwa za Serikali ya awamu ya Sita chini ya Jemedari Mh Rais Dkt Samia Suluhu Hassan,,,Najivunia sana kuwa Mtanzania #TanzaniaNiWajibuWetu #NchiYanguFahariYangu
ReplyDelete