Posts

Showing posts from May, 2025

JE, UNAJUA TANZANIA IMEJENGA ZAIDI YA KM NGAPI ZA BARABARA MPAKA SASA?

Image
 

TANZANIA YETU, FAHARI YETU: KAZI, UTU NA UPENDO NDIYO UTAMBULISHO WETU.

Image
 

MWENGE WA UHURU WAZINDUA NEEMA YA MAJI TANDAHIMBA – VIJIJI 5 KUFAIDIKA

Image
Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Wilaya ya Tandahimba umetenga Shilingi 452,500,000 kwa ajili ya kuchimba visima vitano vya maji safi na salama katika vijiji vya Mivanga, Lyenje, Dinduma, Mchangani na Michenjele, kwa lengo la kuondoa kero ya muda mrefu ya upatikanaji wa maji kwa wakazi wa maeneo hayo. Akizungumza wakati wa utoaji wa taarifa ya utekelezaji wa mradi huo kwa Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2025, Ismail Ali Ussi, Meneja wa RUWASA Wilaya ya Tandahimba, Falaura Kikusa alisema kuwa mradi huo ni sehemu ya Programu Maalumu ya Serikali chini ya Rais Samia Suluhu Hassan inayolenga kuhakikisha wananchi wote wanapata huduma ya majisafi na salama. “Mradi huu ni mkakati maalumu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa lengo la kupunguza adha ya maji katika maeneo ambayo hayajafikiwa na huduma hii muhimu. Utekelezaji wake ulianza Mei 2024 na unatarajiwa kukamilika Juni 2025 kutokana na changamoto mbalimbali, licha ya mpango wa awali kumali...

MUHAS KUANZA MAFUNZO MAALUM KWA GYM INSTRUCTORS ILI KUBORESHA USALAMA WA MAZOEZI KWA WAGONJWA

Image
  CHUO Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kinatarajia kuanza kutoa mafunzo maalum ya kitaalamu kwa wakufunzi wa mazoezi ya viungo (gym instructors) na wasimamizi wa kumbi za mazoezi (fitness managers),ili kuhakikisha wanakuwa na uwezo wa kuwahudumia wateja wanaopelekwa kufanya mazoezi kwa sababu za kitabibu. Akizungumza leo Mei21,2025 wakati wa uzinduzi wa kambi ya siku mbili ya uchunguzi wa afya ya moyo bila malipo katika Kampasi ya MUHAS Mloganzila,Makamu Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Appolinary Kamuhabwa moja amesema mpango huo unalenga kulinganisha huduma za mazoezi ya viungo ya viwango vya kitaifa vya afya. “Uzoefu unaonesha kuwa watu wengi huanza mazoezi bila ushauri wa kitabibu, jambo ambalo linaweza kuwa hatari kwa afya hususani moyo,” amesema Profesa Kamuhabwa. Ameongeza,“Lengo letu ni kuwajengea uwezo waendeshaji wa kumbi za mazoezi ili waweze kutoa huduma kwa kufuata taratibu za kitaalamu za afya,” Ameonya suala la jamii kufanya mazoezi bila usimamizi w...

BAJETI YA UVUVI 2025/26 YASISIMUA, TEKNOLOJIA, MAFUNZO NA MIKOPO KWA WAVUVI

Image
 

NGUVU MPYA KWA WAVUVI NA WAFUGAJI: SERIKALI YAJIBU KWA BAJETI YA KIMKAKATI

Image
 

SISI NI TANZANIA, UKWELI, HAKI NA UZALENDO.

Image
 

TANZANIA YAWEKA REKODI MPYA, MAPINDUZI YA KILIMO YALETA CHAKULA, BIASHARA NA MAENDELEO

Image
 

TANZANIA TAIFA LA AMANI, UZALENDO NA DEMOKRASIA INAYOOTA MIZIZI KATIKA UTU NA UPENDO

Image